Ama kwa hakika kwa Feisal amefufuka wakati muafaka haswa katika kulekea mchezo dhidi ya Simba na hivyo kumpa mwalimu uchaguzi mwingi katika eneo la kiungo.
Rais huyo wa Yanga pia hakua na shida na Feisal na kusema wamempa machaguo ambayo yeye mwenyewe ataamua alifuate lipi ili aweze kuendelea kucheza soka.
Adel Amrouche aliyetangazwa hivi karibuni kupewa mikoba ya Stars amewajumuisha wachezaji wengi wanaocheza soka la kulipwa nje ya nchi akichanganya na baadhi wanaocheza Ligi ya ndani.