Salim Aiyee
Blog

Kama sio Kagere, basi ingekuwa Aiyee

Sambaza....

Hizi ndizo sababu kuu 3 zisizo na ubishi wowote kuhusu Salimu Aiyee, anayechezea KMC FC msimu huu.

1 Ni mtanzania aliyefunga mabao mengi zaidi kwa mwaka huu (takwimu za Januari – Disemba 2019) Ligi Kuu Tanzania Bara.

Top Scorer of Tanzania 2019

2 Alimaliza msimu uliopita 2018/2019 kama kinara wa magoli kwa wachezaji wa ndani

3 Aliikoa Mwadui isishuke daraja baada ya kuifungia katika hatua ya mtoano, na kuinusuru timu hiyo isishuke daraja.

Aiyee amekuwa na msimu ambao si mzuri kwake toka ajiunge na KMC FC.

 

Sambaza....
Subscribe
Notify of

0 Maoni
Inline Feedbacks
Tazama Maoni Yote
0
Tungependa kupata maoni yako, tafadhali tuambiax
()
x