Chirwa anahitaji Msaada
Sina tatizo na Tff wala kamati zake na hata muda uliotumika kupitia vielelezo pia naona ulikuwa sahihi kabisa kutokana na uhalisia wa jambo lenyewe Ndio ilikuwa sahihi kwa maana Obrey Chirwa aliitwa na Tff, lakini alikuwa kwao Zambia akifanya shughuri zake za kilimo na hata aliporudi nchini aliunganisha Zanzibar kwenye...