Arda Turan kutimkia Uturuki
Kiungo mshambuliaji wa Barcelona ya Hispania anakaribia kujiunga na klabu ya Istanbul Basaksehir ya nchini Uturuki Istanbul Basaksehir inayoongoza kunako ligi kuu ya soka Uturuki wakiwa na alama 36, baada ya kushuka dimbani mara 17, wakipishana kwa alama moja na Garatasaray walio katika nafasi ya pili na alama zao 35,...