Abdallah Saleh

Mchambuzi
Mchambuzi wa habari za mpira wa miguu katika kituo Times FM.
Sportpesa

Simba SC, kuisaka tiketi ya Liverpool

Mabingwa wa soka Tanzania bara, Simba SC, wanataraji kushuka dimbani leo kuwavaa Gor Mahia ya Kenya katika mchezo wa fainali ya michuano ya Sportpesa Super Cup utakaopigwa majira ya saa 9:00 alasiri kunako uwanja wa Afrah mjini Nakuru Simba SC, imefika fainali baada ya kuzitoa timu za Kakamega homeboys na...
Ligi Kuu

Viongozi Yanga SC wanapaswa kujitathimini

Habari za Jumatatu ewe mshabiki na mdau wa soka la Tanzania, ni matumaini yangu kuwa mzima afya kabisa.........Na hakika tunapaswa kumshukuru Mungu kwa kutuonesha siku nyingine kwa uwezo wake ndio maana tupo. Mengi mazuri ametufanyia likiwemo la kila Mwanadamu kumpa Upeo wake wa kufikiri ili aweze kuwaza awazacho.......katika hili hakuumba...
Uhamisho

Manchester United kukamilisha usajili wa kiungo

Kiungo wa Kimataifa wa Brazil anayekipiga katika klabu ya Shakthar Donetsk, Frederico Santos, ameonekana akiingia katika viwanja vya mazoezi vya klabu ya Manchester United kwa ajili ya kukamilisha usajili wake Fred, anatarajia kufanyiwa vipimo vya afya siku ya leo na kutambulishwa rasmi kuwa mchezaji halali wa klabu ya Manchester United...
Uhamisho

Liverpool bado yasuasua kwa Fekir

WAKALA wa mchezaji Nabil Fekir, amethibitisha kwamba klabu ya Liverpool hakuna walichokifanya mpaka sasa katika mahitaji ya kuwa na mchezaji huyo anayekipiga katika klabu ya Lyon katika Ligi kuu ya Ufaransa Fekir ambaye alifunga mabao 18 ya ligi katika msimu uliomalizika akiwa na Lyon katika Ligi kuu ya Ufaransa, ambapo...
Ligi KuuUhamisho

Yondani kashamalizana nao!

Beki wa kutumainiwa wa mabingwa wa zamani wa Ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara Yanga SC, Kelvin Patrick Yondan, amemalizana na uongozi wa klabu hiyo baada ya kusaini mkataba hii leo Yondan, amemaliza tetesi iliyoenea kwa takribani wiki mbili kuhusiana na yeye kuondoka kunako klabu hiyo huku akihusiswa kujiunga na...
Ligi Kuu

Azam FC, yaweka mambo adharani

Uongozi wa Azam FC, leo umemtangaza rasmi Hans Van Der Pluijm kuwa Kocha wake mkuu kuchukua mahala kwa Aristika Cioaba aliyetimka kunako klabu hiyo Pluijm, anajiunga na Azam FC akitokea Singida United aliyoiwezesha kucheza fainali ya michuano ya Kombe la Shirikisho maarufu kama Azam Sports Federation Cup Azam FC, walikuwa...
Ligi Kuu

Akilimali kuwania nafasi Yanga SC

Yanga SC, ipo katika harakati za kufanya uchaguzi wa kujaza nafasi Mwenyekiti wa klabu hiyo, kuelekea huko tayari Katibu wa baraza la Wazee wa klabu hiyo, Ibrahim Akilimali, ameonesha nia ya kuitaka nafasi hiyo Akilimali ameonesha nia ya kuwania nafasi hiyo, iliyokosa mtu kwa muda mrefu tangu kujiuzuru kwa aliyekuwa...
Sportpesa

Simba SC, kufuata heshima Kenya

Kikosi cha Simba SC, kinataraji kuondoka kesho nchini kuelekea Kenya kwa ajili ya mashindano ya Sportpesa Super Cup iliyopangwa kuanza June 3 mwaka huu jijini Nairobi, Kenya Kikosi hicho, kitaondoka majira ya saa 1:00 asubuhi kwa ndege ya Shirika la ndege la Kenya KQ kikiwa kamili kwa ajili ya kuwania...
Ligi Kuu

Yanga SC yatangaza tarehe mpya ya mkutano mkuu wa Wanachama

Klabu ya Yanga imetangaza mabadiliko ya tarehe ya mkutano mkuu wa wanachama ambapo sasa umepangwa kufanyika Juni 10, mwaka huu Awali mkutano huo, ulipangwa kufanyika Juni 17, lakini sasa mabadiriko hayo yanaurudisha nyuma kwa wiki moja Akiongea na mwandishi wa tovuti ya Kandanda Katibu wa matawi ya Yanga, Boaz Kifukwe,...
Ligi KuuUhamisho

Ngoma, Pluijm kukutana Chamazi

Taarifa zinaeleza kuwa matajiri wa Azam FC, wamemalizana na aliyekuwa mshambuliaji wa Yanga SC, Donald Dombo Ngoma kwa kumsainisha mkataba wa mwaka mmoja Mwanzoni mwa juma lililopita ililipotiwa kuwa, Yanga imesitisha mkataba wa mshambuliaji huyo kutokana na kuwa majeruhi wa muda mrefu hali iliyopelekea kushindwa kupata huduma ya mchezaji huyo...
1 2 3 4 17
Page 2 of 17