Yanga SC, yaitumia salamu Azam FC
Yanga SC, wameondoa rekodi ya kutopata ushindi katika michezo 9 iliyopita kufuatia kupata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Mbao FC, katika mchezo wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara uliopigwa kunako uwanja wa taifa Dar es salaam Bao pekee katika mchezo huo, lilifungwa na kiungo raia wa Zimbabwe Thaban...