Jembe Ulaya alia na Kessy
Beki wa zamani wa Yanga sc, na timu ya taifa ya Tanzania Bakari Malima "Jembe Ulaya" amemtolea lawama mlinzi Hassan Ramadhan Kessy kufuatia kutolewa nje kwa kadi nyekundu katika mchezo dhidi ya mahasimu wao Simba Jembe Ulaya Kessy, alitolewa nje kwa kuoneshwa kadi ya pili ya njano na mwamuzi baada...