Hatma ya kigogo wa TFF kujulikana kesho
Rufaa ya aliyekuwa Makamu wa raisi wa Shirikisho la soka Tanzania (TFF), Michael Richard Wambura, inataraji kusikilizwa kesho Jumamosi Machi 31, 2018 katika ofisi za Shirikisho hilo Kwa mujibu wa Wakili Emmanuel Muga anayemtetea Wambura, alisema kuwa wameshapokea barua ya kuitwa inayomtaka Wambura aende na utetezi wa maandishi ama njia...