Blog

Mbwana Samatta, Funga, Funga, Funga.

Dunia inakimbia kwa kasi kuzunguka jua, majira yanabadilika kwa kasi kutokana na hili, na haijakwama kuzunguka kwenye mhimili wake pia na usiku umekua haukeshi ili kupata mchana. Kila kitu kimebadilika kuanzia tenkolojia mpaka tabia. Mfano wa enzi zetu ni kama umepitwa na wakati kwa sababu enzi zimebebwa na mabadiliko haya...