DRFA yaipongeza Simba SC.
Chama cha soka mkoa wa Dar es Salaam kimeipongeza klabu ya soka ya Simba kwa kufanikiwa kutinga hatua ya makundi ya ligi ya Mabingwa Afrika baada ya ushindi wa jumla ya mabao 4-3 dhidi ya Nkana FC ya nchini Zambia. Akitoa pongezi hizo kwa niaba ya DRFA katibu mkuu Msanifu...