Miaka 30 imepita tangu nchi hii ikaribie kubeba kombe la Afrika, mara ya mwisho ilikua ni 1993 sasa fikiria nchi imekaa muda wote huo bila kufika fainali.
Anafuatilia PSL sana na anaona kuyumba kwa Chiefs. Ni wazi kwamba inamtia wasiwasi, na kama angepata nafasi ya kujiunga na timu nyingine isipokuwa Chiefs,
Onyango aliongeza kuwa si yeye tuu bali kuna wachezaji wengi wanacheza wakiwa na miaka 40 na zaidi lakini pia kwake yeye anaiskiliza klabu yake kama bado wataendelea kumpa nafasi.
Hii itakuwa fainali ya pili mfululizo kwa Wydad na ya tatu dhidi ya Al Ahly, msimu uliopita wawili hao walikutana na Wydad waliibuka washindi kwa na kutwaa kombe hilo.
Mshambuliaji wa Yanga Fiston Mayele amebakisha mwaka mmoja pekee katika mkataba wake na Yanga huku ofa kibao zikimiminika Jangwani lakini kocha wake Nasraddine Nabi amesema atakapokwenda.
Hata hivyo, kwa kuongezwa kwa Kombe la Dunia la FIFA kutoka timu 32 hadi 48, CAF itapata nafasi tisa, pamoja na taifa la ziada linaweza kufuzu kupitia Mashindano ya FIFA Play-Off