Taifa Stars hii haijawahi kutokea!
Kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania ''Taifa Stars'' tayari kipo kambini kujiandaa na mchezo wa kufuzu katika fainali za mataifa ya Africa (AFCON) zitakazofanyika nchini Cameroon mwaka 2019. Taifa stars inajiandaa na mchezo wake wa pili wa kufuzu dhidi ya Uganda utakaopigwa jijini Kampala katika dimba la Nambolee. Samata...