Blog

Mkusanyiko wa Habari na Matukio tofauti ulimwenguni kote.

Blog

Taifa Stars hii haijawahi kutokea!

Kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania ''Taifa Stars'' tayari kipo kambini kujiandaa na mchezo wa kufuzu katika fainali za mataifa ya Africa (AFCON) zitakazofanyika nchini Cameroon mwaka 2019. Taifa stars inajiandaa na mchezo wake wa pili wa kufuzu dhidi ya Uganda utakaopigwa jijini Kampala katika dimba la Nambolee. Samata...
Blog

Ujio wa Manji ulikuwa Sinema ya Yanga?

Asubuhi ya Agosti 17 ilikuwa ndiyo siku ambayo tulikuwa tunahesabu masaa kwenda uwanja wa Taifa kushuhudia mechi kati ya Yanga na USM Alger's. Na ndiyo siku ambayo wana Yanga wengi walipatwa na mshangao wenye maswali mengi, maswali ambayo mpaka sasa inawezekana hakuna mwenye majibu sahihi. Ni siku ambayo kurasa za...
Blog

Samagoal na Ulimwengu tayari wapo Tz

Nahodha wa Tanzania, Mbwana Samatta anayechezea klabu ya KRC Genk ya Ubelgiji na Thomas Ulimwengu kutoka Al Hil ya Sudan wameshawasili Tanzania asubuhi hii tayari kujiunga na kikosi cha timu ya Taifa. Tanzania itacheza na Uganda katika mchezo muhimu wa kutafuta tiketi ya AFCON.  ...
Blog

Baxter amjumuisha mwanae katika kikosi cha Bafana Bafana

Kocha wa timu ya Taifa ya Afrika Kusini ‘Bafana Bafana’ Stuart Baxter amemtangaza mwanae Lee Baxter kuwa kocha wa makipa wa kikosi hicho wakati ambapo wakijiandaa na mchezo wa kufuzu kwenye fainali za Mataifa Afrika dhidi ya Libya Jumamosi hii mjini Durban. Lee Baxter ambaye ni kocha wa magolikipa wa...
Blog

Ushahidi wa kumtia hatiani Kwesi Nyantakyi wakosekana.

Mwanasheria mkuu na Waziri wa Sheria nchini Ghana Gloria Akufo amesema hakuna ushahidi wa moja kwa moja kumtia hatiani Bosi wa zamani wa shirikisho la Soka nchini Humo Kwesi Nyantakyi. Akufo amesema mpaka sasa Hakuna ushahidi wa moja kwa moja ambao unamtia hatiani Nyantakyi ambaye alinaswa na Camera za Mwandishi...
Blog

‘Press’ ya leo ilikuwa na Sura ya ‘Kamati ya Harusi’.

Hapana shaka siyo mara yako ya kwanza kuona hili neno kwenye makala zangu "kila kitu kwenye dunia hii ya sasa ni biashara". Ndicho kitu ambacho mimi nakiamini kwa sababu tuko kwenye dunia ya aina hii. Dunia ambayo watu wengi hufikiria kufanya chochote ili wapate faida. Faida ambayo huja baada ya uwekezaji...
Blog

Manara kuongoza Watanzania kuishangilia Taifa Stars

Kama hapo awali tulivyokuwa tumetoa dokezo la kikao, vitu vichache tulikuwa tumepatia kwenye baadhi ya vitu. Abdallah Saleh na Thomas Mselemu walikuwa katika makao makuu ya shirikisho la Soka Tanzania kwaajili mkutano huo. Klabu ya Simba yaomba radhi kwa Shirikisho na Watanzania Msemaji wa Klabu ya Simba, Haji Manara, amesema...
Blog

Wachezaji watano wanaofaa kurithi Jezi ya Ronaldo

Hatunaye tena, yupo zake akiwa amekaa kwenye nyumba ya kibibi, kibibi kizee cha Turin. Miaka 9 aliitumia kujenga na kuweka alama ambazo zitakumbukwa na kila kizazi cha mpira wa miguu. Kitabu chake cha historia RealMadrid kilianza kuandikwa kwa dau ambalo lilimtoa Manchester United kuja RealMadrid. Dau ambalo lilimfanya kuwa mchezaji...
Blog

Eto’o kumjengea nyumba nahodha wa zamani wa Cameroon.

Imeripotiwa kwamba Mshambualiaji wa Zamani wa Barcelona na Inter Milan Samuel Eto'o amemuahidi kumnunulia Nyumba nahodha wa zamani wa Timu ya Taifa ya Cameroon Norbert Owona. Eto'o amefikia maamuzi hayo baada ya Nyota huyo aliyewika na Cameroon katika miaka ya 1960 na 1970 kuripotiwa kwamba hana pa kuishi akiwa na...
1 76 77 78 79 80 85
Page 78 of 85