Blog

Mkusanyiko wa Habari na Matukio tofauti ulimwenguni kote.

Blog

Mambo yazidi kuwa magumu kwa Yanga SC

Wakati ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara ikielekea ukiongoni, hali imeendelea kuwa ngumu kwa kikosi cha Yanga SC, kufuatia kupoteza mchezo mwingine wa ligi hiyo jioni ya leo dhidi ya Mtibwa Sugar kwa bao 1-0 Kikosi hicho, kimevuna alama sufuri katika michezo yake miwili mfululizo kufuatia hapo awali kufungwa na...
Blog

Simba SC, yanogesha ubingwa wake

Pamoja na kwamba wameshatwaa ubingwa wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara kwa msimu huu wa 2017/18, Simba SC, wameendelea kuonesha lengo lao la kumaliza ligi hiyo bila kupoteza mchezo baada ya kuifunga Singida United kwa bao 1-0 Singida United, ilikuwa kunako dimba lake la nyumbani la Namfua Stadium iliruhusu...
Blog

Ibrahim Ajibu “Ibra Cadabra” kama Zlatan Ibrahimovic tuu!

Ibrahim Ajibu Migomba ni kama ameweka rekodi ya wajina wake Zlatan Ibrahimovic ambae kwa sasa yupo Marekani katika Major League Soccer (MLS). Uhamisho wa Zlatan Ibrahimovic kutoka Inter Milan kwenda FC Barcelona ni kama alipishana na kombe lá Ligi Ya Mabingwa Ulaya baada ya Inter Milan kubeba kombe hilo na...
Blog

Michuano ya CECAFA kwa wanawake yaahirishwa tena.

Michuano ya wanawake kwa nchi wanachama wa Baraza la vyama vya michezo ukanda wa Afrika Mashariki na Kati (CECAFA Women Championship) iliyotakiwa kufanyika kuanzia Mei 12 hadi Mei 22 mwaka huu yameahirishwa. Katika taarifa iliyotolewa na Shirikisho la soka la Rwanda (FERWAFA) imeeleza kuwa sababu kubwa ya kuahirishwa tena kwa...
Blog

Rasmi Lwandamina apata timu mpya.

Baada ya kuachana na Yanga aliyewahi kuwa kocha wa timu hiyo George Lwandamina leo hii katangazwa rasmi kuwa kocha mkuu wa Zesco United. Mtendaji mkuu wa klabu hiyo ( Zesco United) Richard Mulenga amemtangaza George Lwandamina kuwa kocha mkuu sambamba na Alfred Lupiya kuwa kocha wa kwanza msaidizi huku Emmanuel...
Blog

Arusha FC yajinyakulia pointi tatu na bao tatu za mezani.

Kamati imeipa Arusha FC ushindi wa pointi tatu na mabao matatu baada ya African Sports kuchezesha wachezaji wawili waliotumia leseni za kughushi (non qualified) katika mechi ya Kundi B Ligi Daraja la Pili (SDL) kati ya timu hizo iliyochezwa Uwanja wa Mkwakwani jijini Tanga. Uamuzi huo dhidi ya African Sports...
Blog

Ningeipanga hivi timu ya Simba katika mchezo na Yanga!

Simbasc ndio kinara wa ligi ikiwa na point 58 wakifwatiwa na Yanga yenye point 47 huku ikizidiwa michezo miwili na Simba. Baada ya kuukosa ubingwa kwa takribani miaka 5 klabu ya Simba ina nafasi nzuri ya kua bingwa katika msimu huu kutokana na form nzuri walionayo. Benchi la ufundi la...
Blog

Tulimsubiria Neymar, Akaja Salah

Kivuli cha Lionel Messi ndicho kilichomtoa, hakutaka kusimama kwenye kivuli cha mtu mwingine ilihali kivuli chake kikiwa kimesinyaa. Mawazo yake na matamanio yake makubwa yalikuwa kujenga Ufalme wake mwenyewe. Ufalme ambao atapokea heshima kubwa kila sehemu ya dunia. Messi na Neymar wakiwa Barcelona Aliamini ndani ya Ufalme wake atakuwa huru...
Blog

Tanzania yachanua CECAFA U17

Timu ya taifa ya vijana waliochini ya umri wa miaka 17, ya Tanzania Serengeti boys, jioni ya leo imefanikiwa kutinga fainali ya michuano ya kombe la mataifa ya Afrika Mashariki na kati, CECAFA U17 Serengeti boys, imeingia hatua hiyo baada ya kuichapa Kenya kwa mabao 2-1 katika mchezo uliofanyika kunako...
Blog

Tanzania yainyamazisha Sudan

Timu ya taifa ya vijana ya Tanzania chini ya umri wa miaka 17, Serengeti boys, imepata ushindi mnono wa mabao 6-0 dhidi ya Sudan katika mchezo wa kombe la mataifa ya Afrika mashariki na kati CECAFA inayoendelea nchini Burundi Kwa matokeo hayo, yanaifanya Serengeti boys kufuzu hatua ya nusu fainali...
1 79 80 81 82 83 85
Page 81 of 85