Mambo yazidi kuwa magumu kwa Yanga SC
Wakati ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara ikielekea ukiongoni, hali imeendelea kuwa ngumu kwa kikosi cha Yanga SC, kufuatia kupoteza mchezo mwingine wa ligi hiyo jioni ya leo dhidi ya Mtibwa Sugar kwa bao 1-0 Kikosi hicho, kimevuna alama sufuri katika michezo yake miwili mfululizo kufuatia hapo awali kufungwa na...