Ligi Kuu

Ligi Kuu

Yanga kujipima kwa Singida kabla ya kuwavaa Ditcha

Kocha mkuu wa Yanga sc, George Lwandamina amepanga kuutumia mchezo wa kesho dhidi ya Singida United kuwa sehemu maandalizi ya kikosi chake kuelekea katika mchezo wa marejeano na Wolaita ditcha Jumanne ijayo Aprili 17, 2018 Yanga inataraji kuvaana na Singida United kesho, kunako uwanja wa taifa jijini Dar es salaam...
Ligi Kuu

Simba hii haitanii, yaitwanga Mtibwa kwake.

Kikosi cha Simba kimeonyesha hakitanii na wanataka ubingwa kweli wa Tanzania Bara baada ya kupata ushindi dhidi ya timu ngumu ya Mtibwa Sugar katika uwanja wa Jamuhuri Morogoro. Simba wamefanikiwa kuibuka na ushindi wa bao moja na kupata point tatu muhimu kuelekea kutwaa ubingwa wa VPL. Goli lá Simba lililofungwa...
Ligi Kuu

Yanga inawaza vizuri ila inatekeleza vitu kawaida

Tulizoea kupata vitu kutokana na hisani ya mtu ili macho yetu yaweze kushuhudia jua likizama na kukaribisha giza. Maisha yetu yalikuwa yanamtegemea mtu kutuletea mwanga ili tupate nuru, kuna wakati magoti yetu yalichubuka sana wakati tunaomba msaada kwa hawa watu. Hatukuona haya kutembeza bakuri la mchango ili tupate kuwalipa kina...
Ligi Kuu

Simba safarini kuifwata Mtibwa Sugar!

Timu ya SimbaSc iliyocheza mchezo wake wa ligi dhidi ya Njombe Mji na kupata ushindi wa mabao mbili kwa sifuri, inatarajiwa kuondoka asubuhii hii kuelekea Iringa. Mchezo wao unaofwata wa ligi utakua ni Mtibwa Sugar ya Manungu Turiani watakaoikaribisha SimbaSc utakaopigwa katika dimba la Jamuhuri Morogoro. Kikosi cha Simba kitaweka...
Ligi Kuu

Mnyama atakata Njombe, aikimbia Yanga!

Klabu ya SimbaSc ya Dar es salaam imeendeleza wimbi la ushindi katika ligi kuu  (VPL) baada ya kuifunga Njombe Mji ya Njombe kwa mabao mawili kwa sifuri. Mchezo huo uliokua mgumu kwa pande zote mbili, huku kila timu ikipambana kupata matokeo ili kujiweka nafasi nzuri katika ligi kuu Bara. Alikua...
Ligi Kuu

Salah tizama alipo Ian Rush, kisha jenga ufalme wako

Mwishoni mwa juma hili kutakuwepo na derby ya kirafiki, derby ambayo mashabiki wa timu zote mbili hukaa pamoja na kushangilia pamoja bila vurugu yoyote. Hakuna uhasama kwenye Merseyside derby, derby ambayo mfalme wake ni Ian Rush, magoli 25 aliyoyafunga kwenye derby hii yanamfanya kuwa mchezaji aliyefunga magoli mengi kwenye mechi...
Ligi Kuu

Simba kuiwahi Njombe Mji

Kikosi cha Simbasc kinachofanya mazoezi yake katika uwanja wa BokkoBeach Veteran kinatarajiwa kuondoka mapema mwishoni mwa wiki tayari kuwakabili wapinzani wao Njombe Mji ya Njombe, mchezo utakaopigwa katika dimba la Sabasaba. Kikosi cha Simba kitaondoka Jumamosi tarehe 31 asubuhi saa moja kwa njia ya barabara ili kuwahi Iringa kuzoea mazingira...
Ligi Kuu

Simba sc yapata pigo

Kiungo wa klabu ya Simba, Jonas Mkude huenda akakosekana uwanjani kwa takribani wiki moja baada ya kuumia kifundo cha mguu akiwa mazoezini Klabu hiyo, imekuwa ikifanya mazoezi yake kunako uwanja wa Boko veterani jijini Dar es salaam, ikijianda na mchezo wa ligi kuu dhidi ya Njombe mji FC unaotaraji kupigwa...
Ligi Kuu

Habari za Bunju na Geza ulole ziliishia wapi??

Kelele tulizipiga sana, tuliandika sana, watu wakaongea sana kwenye redio kama ni wimbo ungekuwa wimbo unaohusu kuhamasisha wakazi wa Kariakoo wamiliki viwanja vyao binafsi. Viwanja ambavyo vingewawezesha watu wa Kariakoo waondokane na adha ya kuomba omba kila wakati. Ni aibu kubwa sana vilabu kama Simba na Yanga vyenye umri mkubwa...
Ligi Kuu

Mechi ya Mbeya City yapigwa kalenda

Mechi namba 199 ya Ligi Kuu ya Vodacom kati ya Mbeya City na Yanga iliyopangwa kufanyika Mei 1, 2018 kwenye Uwanja wa Kumbukumbu ya Sokoine jijini Mbeya itapangiwa tarehe nyingine, hii ni kwamujibu wa taarifa kutoka TFF. Uamuzi wa kuipangia tarehe nyingine ni kukidhi matakwa ya Kanuni inayotaka nafasi kati...
1 84 85 86 87 88 94
Page 86 of 94