Ligi Kuu

Ligi Kuu

Mechi ya Mbeya City yapigwa kalenda

Mechi namba 199 ya Ligi Kuu ya Vodacom kati ya Mbeya City na Yanga iliyopangwa kufanyika Mei 1, 2018 kwenye Uwanja wa Kumbukumbu ya Sokoine jijini Mbeya itapangiwa tarehe nyingine, hii ni kwamujibu wa taarifa kutoka TFF. Uamuzi wa kuipangia tarehe nyingine ni kukidhi matakwa ya Kanuni inayotaka nafasi kati...
Ligi Kuu

Raphael Daud, ni ngumu kuona Mawio kwenye taa za Kariakoo

Ni sehemu ndogo tu iliyopo Dar-es-Salaam, lakini ni sehemu ambayo ina umuhimu mkubwa sana hapa nchini, hapana shaka TRA hujivunia eneo hili. Hata wafanyabiashara hulitukuza eneo hili, utajiri wao ulianzia hapa na kukua hapa mpaka mitaani wakawa na heshima. Hapana shaka ndilo eneo ambalo huwezi kuwa mchezaji wa mpira wa...
Ligi Kuu

Sanga alitolea ufafanuzi suala la Lyanga

Uongozi wa klabu ya Singida United inayoshiriki Ligi kuu ya soka Tanzania bara, umekanusha vikali taarifa kuhusu mshambulaji wao Danny Lyanga, kufungiwa kucheza mpira na Shirikisho la soka Duniani (FIFA) Taarifa za awali zilisema kuwa, mshambuliaji huyo amefungiwa kwa kipindi cha miezi na Shirikisho la soka Duniani FIFA, baada ya...
Ligi Kuu

Msiempenda Kaja.

Hii inaweza kuwa ni Habari njema kwa mashabiki na wapenzi wa mabingwa watetezi wa Ligi kuu soka Tanzania bara, Yanga sc, kwa urejeo wa mshambulizi wa kikosi hicho Donald Ngoma. Ngoma anataraji kuungana na kikosi hicho Alhamisi ya wiki hii, kujiandaa na mchezo wa michuano ya Azam Sports Federation Cup...
Ligi Kuu

Hiki ndicho kilicho mpa Tshishimbi ubabe wa Februari

Kiungo mahiri wa Yanga sc, Papy Tshitshimbi amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa ligi kuu ya soka Tanzania bara kwa mwezi Februari 2018 Mchezaji huyo raia wa Congo (DRC) ametwaa tuzo hiyo baada ya kuwashinda kiungo mwingine wa Yanga sc, Pius Buswita na mshambuliaji wa Simba kutoka Uganda Emanuel Arnold Okwi...
Ligi Kuu

Hivi ni ngumu kuuendesha kibiashara uwanja wa Taifa?

Kutengeneza hela ni sanaa, kufanya kazi ni sanaa ila kufanya biashara ni sanaa kubwa zaidi Kuna biashara nyingi sana kwenye tasnia ya michezo lakini hatujawahi kuzifanya katika kiwango kikubwa cha ubora. Ukawaida usio wa kawaida umetawala sana kwenye eneo hili la biashara za michezo, ndiyo maana mafanikio yetu ya kawaida...
Ligi Kuu

Yanga sc yapandisha mzuka, sasa ni mpaka kieleweke

Mabingwa watetezi wa ligi kuu ya soka Tanzania bara, Yanga sc, jioni ya leo wameendeleza ubabe wao baada ya kupata ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Stand United ya Shinyanga. Katika mchezo huo, uliofanyika kunako uwanja wa taifa jijini Dar es salaam, Yanga waliandika bao la kwanza baada beki wa...
Ligi Kuu

Mkude ananifanya na mimi nitamani kucheza namba sita!

Jonas Gerald Mkude mtoto wa Kinondoni rafiki Mkubwa wa ndugu yangu Abdul Mkeyenge. Ameufanya mpira uonekane kitu kirahisi ambacho kila mtu atamani kuucheza. Ndio Jonas Gerald Mkude kiungo mkabaji wa SimbaSc ambae kwa sasa yupo kwenye ubora wake. Kiungo mkabaji wa kisasa tunaweza kumuita, anakaba, anatuliza timu, anaanzisha mashambulizi, mtaalamu...
Ligi Kuu

Miguu ya Pius Buswita inavyowamaliza wapinzani kimyakimya

Kwa jicho la kawaida unaweza usiione sawasawa kazi ya miguu yake, lakini ukimtazama kwa jicho la kiufundi unaweza ukagundua vitu vingi sana na ni mchezaji mwenye madhara makubwa kwa wapinzani waliokutana na Yanga sc mpaka sasa, sio mchezaji mwenye vitu vingi lakini yeye amekuwa akifanya vile vya msingi vinavyoisaidia timu...
1 85 86 87 88 89 94
Page 87 of 94