Licha Ya Arsenal Kushinda, Bado Ina Mapungufu
Jana tulishuhudia Pierre-Emirick Aubameyang akicheza mechi yake ya kwanza akiwa na jezi ya Arsenal. Mechi hii Pierre-Emirick Aubameyang alifanikiwa kufunga goli akipokea pasi kutoka kwa Henrikh Mkhitaryan ambaye alitoa pasi tatu za magoli kwenye mechi hii. Mechi hii Arsenal alicheza katika mfumo wa 4-2-3-1, mfumo ambao ulimwacha Pierre-Emirick Aubameyang kuwa...