Kuelekea mechi ya watani Yanga sc yapata pigo
Mshambuliaji wa mabingwa soka Tanzania bara Yanga sc, Obrey Chirwa, amefikisha idadi ya kuwa na kadi tatu za njano katika ligi kuu ya Vodacom Tanzania Mshambuliaji huyo tegemeo kunako kikosi cha Yanga kwa sasa, ataukosa mchezo ujao dhidi ya mahasimu wao katika soka la bongo Simba sc, unaotaraji kupigwa Aprili...