HomeArchive by Category "Ligi Kuu (Usitumie hii)" (Page 102)
Ligi Kuu (Usitumie hii)
Habari za Ligi Kuu maarufu Duniani Ligi Kuu (Premier League) hivyo hapa tunakuletea mkusanyiko wa uchambuzi na matukio yanayohusu Ligi Kuu pekee pamoja na Ligi Kuu Tanzania Bara (Ligi Kuu)
SHABIKI mwandamizi wa Ajax Amsterdam, Mart Van Hoidonk mwaka 1996, alitoka uwanjani mpira ukiwa mapumziko na kuamua kurudi nyumbani. Rafiki yake aliyekuwa nyumbani alimshangaa Hoidonk aliyemuaga anakwenda uwanjani kutazama mpira, akirudi kabla mpira wenyewe kumalizika. Hoidonk kwa sauti yake ya chini alimwambia rafikiye kuwa asimshangae kurudi kabla ya mpira kumalizika...
Njia ipi waliitumia Prisons kushambulia? Walipokuwa katika robo yao ya uwanja walokuwa wanamiliki mpira kwa kupiga pasi huku wakispgea mbele. Walipokuwa wanafika karibu na nusu ya uwanja walikuwa wanapiga mipira mirefu ya moja kwa moja kwa washambuliaji wao. Walijua washambuliaji wao walikuwa na kasi kubwa sana ukilinganisha na mabeki wa...
Kulikuwa na dalili za Mbaraka Yusufu mshambuliaji wa Kagera Sugar kuibuka mchezaji bora wa ligi kuu msimu huu wa 2016-17 lakini kadi nyekundu mechi ya juzi na Yanga SC inamtoa katika kinyang'anyiro hicho . Suala la nidhamu huenda likachafua mbio hizo. Namuona Haruna Niyonzima kurudi kwenye tuzo za mchezaji bora...
Nipo ndani ya uwanja mpya wa Taifa nikifatilia Mpambano wa Fainali wa mashindano yaliyopewa jina la URAFIKI CUP kati ya AZAM FC vs SIMBA SC jukwaa lile lile ambalo anapenda kukaa Pacha wangu wa Nje Bwana Frank Robert Rweyemamu mara inarushwa chupa ya maji kuelekea uwanjani aliposimama mshika kibendera kutoka...
Tafadhali tumia viungo rasmi kusambaza habari zetu. Facebook, Twitter au Barua Pepe. Kama utataka kutumia habari zetu tuandikie kupitia habari@kandanda.co.tz