Baada ya Simba kuifunga mabao manne kwa moja Yanga na kukata tiketi ya kwenda fainali ya kombe la FA imekua ni habati na historia kwa upande wa wachezaji Shevi na Haruna Shamte.
Simba inakwenda kukutana na Yanga kwa mara ya tatu msimu huu huku ikiwa imeambulia sare ya mabao mawili kwa mawili katika mchezo wa kwanza huku wapili wakifungwa bao moja bila lililofungwa na Benard Morisson.
Waswahili hutumia neno "Gundu" kwa kuashiria bahati mbaya, kukosa bahati ama mkosi, ndicho unachoweza kusema kwa timu zote mbili Simba na Yanga kuelekea mchezo wao wa nusu fainali wa Azam Sports Federation Cup.
Endapo atapoteza mchezo tena dhidi ya Yanga huenda ikakoleza safari yake yakutimuliwa na Simba na kuache rekodi mbovu miongoni mwa makocha waliopita Simba mbele ya Yanga.
Baada ya sintofahamu kutokana na maamuzi mbalimbali ya marefa wetu hapa nchini TFF imeamua kuongeza idadi ya waamuzi watakaochezesha mchezo wa robo fainali ya Azam Sports Federation Cup.