Mabingwa Afrika

Mabingwa Afrika

Paschal Wawa kuwakosa TP Mazembe.

Simba inaondoka leo hii kuelekea Lubumbashi nchini Congo ƙkwa ajili ya mchezo wa marudiano dhidi ya TP Mazembe. Kwa mujibu wa Meneja wa timu hiyo Patrick Lweyumamu amedai kuwa msafara wa Simba utaondoka na ndege maalumu ya kukodi. Pascal Wawa akiwa anasikilizia maumivu dakika kadhaa tu baada ya mchezo kuanza....
1 6 7 8 9 10 19
Page 8 of 19