Inawezekana baada ya vilabu vya Uhispani kutawala kwenye ligi ya Mabingwa Ulaya kwa zaidi ya mwongo mmoja kwenye hatua ya robo fainali, Mwaka huu tukashindwa kabisa kuiona miamba hiyo ya soka kwenye hatua hiyo muhimu. Baada ya Valencia kuondolewa kwenye hatua ya makundi, tumeshuhudia Real Madrid wakitolewa na Ajax kwa...
Timu ya soka ya Liverpool inatakiwa kujiandaa kiume pale itakapowafuata wanaume wa kazi Bayern Munich kwenye uwanja wa Allianz Arena katika mchezo wa ligi ya mabingwa barani Ulaya hatua ya 16 bora mkondo wa pili baada ya kutoka sare ya 0-0 katika mchezo wa mkondo wa kwanza. Beki wa kati...
Kocha mpya wa Real Madrid Zinedine Zidane amezima ndoto za mashabiki wengi kumuona Cristiano Ronaldo anarejea kwenye klabu hiyo baada ya hapo jana Zidane kutangazwa kocha mpya ikiwa ni miezi 10 tu toka atangaze kuachia ngazi kwenye klabu hiyo. Zidane alipoulizwa kuhusu uwezekano wa Ronaldo kurejea Real Madrid amesema kwa...
Katika ushindi wa goli 1-0 dhidi ya Young Boys katika uwanja wa Old Traford, katika muendelezo wa ligi ya mabingwa barani Ulaya (UCL) Kocha wa Manchester United Jose Mourinho alishangilia goli la kiungo Mmbeligiji Marouane Fellaini kwa staili ya aina yake. Mourinho alionekana kumwaga chupa za maji nje na ndani...
Kocha wa timu ya Monaco Thierry Henry amesema haoni wa kumlaumu wakati akiwa hajashinda mchezo wowote toka alipokabidhiwa timu hiyo. Henry amesema kwa sasa wanachoangalia ni mchezo ujao dhidi ya Club Brugge wa ligi ya Mabingwa Barani Ulaya na kwamba anatamani kuona wachezaji wake wakipambana ili kupata ushindi wakati wakizika...
Meneja wa klabu bingwa nchini Hispania FC Barcelona Ernesto Valverde amekitaka kikosi chake kujifunza kupambana bila ya nahodha na mshambuliaji Lionel Messi, ambaye atakosa baadhi ya michezo, kufuatia kupata jeraha la mkono mwishoni mwa juma lililopita, wakati wa mchezo wa La Liga dhidi ya Sevilla CF. Valverde ametoa tamko la...
Mshambuliaji kutoka nchini Chile Alexis Sanchez hatokua sehemu ya kikosi cha Manchester United katika mchezo wa mzunguko wa tatu wa ligi ya mabingwa barani Ulaya hatua ya makundi dhidi ya mabingwa wa soka nchini Italia Juventus FC. Mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka 29, kwa mara ya mwisho alionekana katika...