Simba SC vs Stand United

Sambaza....

Huku ikiwakosa washambuliaji wake muhimu, Simba inaingia mchezoni kutaka kuendeleza ubabe dhidi ya Stand utd ili kuendelea kujiimarisha kileleni mwa ligi. Huku tumaini lao likiwa kwa Nicholas Gyan na Laudit mavugo kwenye ushambuliaji

3 - 3
Mwisho

Baada


Uwanja

Dar es Salaam

Taarifa

Tarehe Muda Ligi Msimu Mwisho
02/03/2018 4:00 pm TPL 2017-2018 90'

Waamuzi

Kamishina
Peter Temu
Mwamuzi wa Kati
Florentina Zabron
Mwamuzi Msaidizi 1
Ferdinand Chacha
Mwamuzi Msaidizi 2
Mashaka Mwandemba

Sambaza....