Ligi Kuu

Saba wa Yanga kuikosa Azam fc kesho

Sambaza....

Mabingwa wa soka Tanzania bara Yanga sc, kesho Jumamosi watakua ugenini kwenye uwanja wa Azam complex kuwakabili wenyeji wao Azam FC

Katika mchezo huo wa ligi kuu ya soka Tanzania bara, Yanga itawakosa nyota wake saba waliomajeruhi na mmoja akitumikia adhabu ya kuwa na kadi tatu za njano

Wachezaji hao ni Amis Tambwe, Yohana Oscar Nkomola, Abdallah Shaibu, Pato Ngonyani, Pius Buswita Donald Ngoma na Thabani Scara Kamusoko

Taarifa

Tarehe Muda Mwisho
90'

Hafsa habari wa klabu hiyo Dismas Ten, tayari ameweka wazi kuwa watawakosa nyota hao saba katika mchezo huo wa kesho

“Tutawakisa wachezaji wetu saba katika mchezo wetu wa kesho dhidi ya Azam FC, lakini wengine wapo tayari na mchezo huo ambao tutalazimika kushinda ili kujiweka vizuri kwenye msimamo wa ligi

Aidha pia klabu hiyo itamkosa kocha wake msaidizi Shadrack Nsajigwa, anayesafiri kwenda kwenye msiba wa shemeji yake, huku kibali cha kufanyia kazi cha kocha mkuu George Lwandamini ikiwa ni kitendawili

Endapo kitakosekana kibali hicho, ina maana Yanga kesho itaongozwa na mwalim wake wa viungo Noel Mwandila raia wa Zambia

PosTimuPWDLFAGDPts
1Simba SC1881294316372111261430
2Yanga SC1871254220307114193417
3Azam FC1901054936289141148364
4Tanzania Prisons182546563157174-17227
5Kagera Sugar FC182556067153188-35225
6Mtibwa Sugar FC180535176162197-35210
7Coastal Union FC151494854125151-26195
8Mbeya City FC166455764153185-32192
9KMC FC151474856149162-13189
10Ruvu Shooting166455071146200-54185
11Namungo FC11643373613312112166
12Mwadui FC108333243119134-15131
13Lipuli FC10733324298116-18131
14Biashara FC1062839398297-15123
15Mbao FC10730324586120-34122
16JKT Tanzania SC912933297585-10120

Sambaza....
Subscribe
Notify of

0 Maoni
Inline Feedbacks
Tazama Maoni Yote
0
Tungependa kupata maoni yako, tafadhali tuambiax
()
x