Ligi Kuu

Simba kukaa kileleni leo?

Sambaza....

Klabu ya soka ya Simba sc leo inashuka dimbani kukabiliana na Coastal Union ya Tanga katika mchezo wa kiporo wa Ligi Kuu Bara katika dimba la Uhuru jijini Dar es salaam.
Mpaka sasa Simba ina alama 78 ikishika nafasi ya pili katika msimamo wa Ligi Kuu Bara huku Yanga wakiwa kileleni na alama 80.

Kwa ushindi wowote watakaoupata leo Simba dhidi ya Coastal Union ni dhahiri shahiri wataishusha Yanga kileleni na kuongoza Ligi.

Tazama hapa msimamo :

Msimamo wa Ligi Kuu Bara

PosTimuPWDLGDPts
13829636293
23827562986
338211253375
438131691555
53814816250
638121313-849
73813916-148
838111512-1048
938121214-1248
1038111413-647

Sambaza....
Subscribe
Notify of

0 Maoni
Inline Feedbacks
Tazama Maoni Yote
0
Tungependa kupata maoni yako, tafadhali tuambiax
()
x