archivejean marc makusu

Mabingwa Afrika

Wajue AS VITA CLUB kiundani zaidi.

Katika mshindano ya Afrika, Club Vita ilishawahi kuwa bingwa wa Klabu bingwa Afrika mara moja mwaka 1973, na mwaka huu imefika fainali katika mashindano ya shirikisho Afrika. Na katika mashindano ya Afrika Mashariki “Kagame Cup” ilishawahi kushika nafasi ya 3 mwaka 2012.