Simba SC, kuisaka tiketi ya Liverpool
Mabingwa wa soka Tanzania bara, Simba SC, wanataraji kushuka dimbani leo kuwavaa Gor Mahia ya Kenya katika mchezo wa fainali ya michuano ya Sportpesa Super Cup utakaopigwa majira ya saa 9:00 alasiri kunako uwanja wa Afrah mjini Nakuru Simba SC, imefika fainali baada ya kuzitoa timu za Kakamega homeboys na...