
Simba imeendeleza wimbi la kula viporo na sasa ilikua ni zamu ya Kmc katika dimba la CCM Kirumba Mwanza na kufanikiwa kupata ushindi wa mabao mawili kwa moja.
Baada ya ushindi huo sasa Simba imefanikiwa kupanda mpaka nafasi ya pili na kuishusha Azam fc iliyokua imeweka makazi yake nafasi ya pili kwa muda mrefu.
Sasa Simba inafikisha alama 66 sawa na Azam lakini wao wakiwa na wastani mzuri wa mabao ya kufunga na kufungwa.
Unaweza soma hizi pia..
Msemaji Simba: Mambo ni magumu!
Kila mwanasimba anatakiwa kufahamu hilo na kukubali mambo ni magumu.
Kola na mfupa uliomshinda Mayele!
Licha ya Fiston Mayele kusifiwa na kuoneoana ni moja ya washambuliaji hatari katika Ligi lakini hakufanikiwa kufunga
George Mpole anaishi ndoto zetu!
juhudi binafsi za George Mpole na ndio maana utofauti wa mabao ya kufunga na kufungwa ni 1 kwao lakini yeye pekeake Mpole ana mabao 13.
Alli Kamwe: Kumbe bila moto wanateseka!
: Asante Moalin. Asante Pablo Franco, Mechi ilichezwa sana kwenye mbinu kisha ikamalizikia kwenye Ufundi wa wachezaji.