Blog

Mkusanyiko wa Habari na Matukio tofauti ulimwenguni kote.

Blog

Kigogo wa Mtibwa afurahia Kihimbwa, Sabato kujumuishwa Taifa Stars

Wachezaji wawili wa Mtibwa Sugar wamejumuishwa kwenye kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania “Taifa Stars” kwa ajili ya mchezo wa kufuzu mataifa ya Afrika “AFCON” dhidi ya Uganda utakaopigwa jijini Kampala , Uganda. Stars inayofundishwa na nyota wa zamani wa Nigeria Emanuel Amunike amewajumuisha katika kikosi chake mshambuliaji Kelvin...
Blog

Nyota wa Simba waondolewa Taifa Stars

Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya soka ya Tanzania (Taifa Stars) Emmanuel Amunike amewaondoa kikosini wachezaji sita wa timu ya soka ya  Simba ya jijini Dar es Salaam isipokuwa golikipa Aishi Manula wakidaiwa kutoripoti kambini kwa wakati, na ameteua wachezaji wengine kuziba nafasi zao. Wachezaji walioondolewa ni pamoja na...
Blog

Burudani ya Yanga vs Singida Utd yatua Kigoma

Mkoa wa Kigoma unatarajia kushuhudia burudani kubwa ya soka baada ya zaidi ya miaka 20, Pale ambapo mabingwa wa kihistoria Yanga watakapocheza mchezo wa kirafiki na Singida United kutoka mkoani Singida. Mkurugenzi wa Singida United Festo Richard Sanga amesema mchezo huo ambao utapigwa katika uwanja wa Lake Tanganyika, Septemba 05,...
Blog

Tutumie hata kitabu cha Samatta kwa kina Ajib

Dibaji yake inavutia na haitofautiani sana na Dibaji za wachezaji wengi wa Tanzania. Hakuzaliwa katika mazingira yenye utajiri mkubwa, hata hakufanikiwa kuwa kwenye vituo vya kulelea na kukuza vipaji. Kwa kifupi ametokea kwenye mazingira halisi ya kitanzania. Mazingira ambayo vijana wengi hupitia. Mazingira ambayo yalimpa nafasi ya kucheza chandimu. Ndiyo...
Blog

Mwambieni baba yake Kelvin John, nimemwandalia kahawa.

Vingi vizuri vimepita lakini havikufika sehemu ambayo vilitakiwa kufika na ndiyo maana wengi husema utajiri mkubwa upo makaburini. Watu wanakufa na mawazo yao makubwa ambayo walishindwa kuyafikia wakiwa duniani kwa sababu ya mazingira magumu ambayo yalisababisha kutofikia sehemu waliyoota. Hii ni dhambi kubwa sana, dhambi ambayo hukumu yake ni majuto...
Blog

Mambo matano muhimu kwenye mkutano wa Yanga.

Leo kulikuwa na mkutano mkuu wa Yanga, mkutano ambao ulikuwa unafuatiliwa na watu wengi, haya ndiyo mambo matano muhimu yaliyotokea kwenye mkutano huo. 1: "Yanga imechaguliwa kuwa alama ya ukumbusho barani Afrika kama moja ya vilabu vilivyobeba alama ya uhuru wa Tanzania na uhuru wa bara la Afrika, Yanga ni...
Blog

Messi na Ronaldo siyo chochote kwa hawa!.

Inawezekana ndiyo wachezaji ambao wamegawana mashabiki katikati kwa kipindi cha muongo mmoja uliopita kama walivyogawa katikati tunzo ya Ballon D'or ndani ya miaka 10 iliyopita. Miguu yao imetufurahisha sana, ikatuliza sana kwa furaha na huzuni na kupelekea upande mmoja wa mashabiki kuwa na chuki na Messi na upande mwingine kuwa...
Blog

Yanga, Simba watupwa kundi moja michuano ya Kagame CECAFA Cup

Baraza la vyama vya soka ukanda wa Afrika Mashariki na Kati (CECAFA) limetangaza ratiba pamoja na makundi ya michuano ya Kagame CECAFA Cup inayotarajiwa kuanza Juni 28 hadi Julai 13 Mwaka huu jijini Dar es Salaam katika viwanja vya Azam Complex na uwanja wa Taifa. Katika hali ya kushangaza na...
Blog

Zinedine Zidane ang’atuka Madrid

Kocha wa Real Madrid, Zinedine Zidane, ameachana na klabu hiyo siku tano baada ya kuipa taji la tatu mfululizo la klabu bingwa Ulaya. Zidane alitangaza uamuzi huo siku ya Alhamisi mbele ya rais wa klabu hiyo, Florentino Pérez. "Nimechukua huu umuzi wa kutokuendelea msimu ujao. Kwangu mimi na kwa kila...
Blog

Semak Kumrithi Mancini Zenit St. Petersburg

Klabu ya soka ya Zenit St. Petersburg imemtangaza Sergei Semak kuwa kucha mkuu wa klabu hiyo kuchukua nafasi ya Roberto Mancini ambaye ameondoka klabu hapo na kujiunga na timu ya Taifa ya Italia. Semak ambaye kipindi akitandaza kabumbu alikuwa akicheza eneo la kiungo, aliichezea Zenit na kustaafu akiwa hapo mwaka...
1 77 78 79 80 81 85
Page 79 of 85