Blog

Mkusanyiko wa Habari na Matukio tofauti ulimwenguni kote.

Blog

Kipa aliyefungwa Nne na Algeria langoni dhidi ya DRC

Kocha msaidizi wa timu ya taifa ya Tanzania "Taifa stars ", Mzanzibar Hemed Suleiman "Morocco", amesema kuwa maandalizi yao ya mchezo wa kesho dhidi ya Congo yamekamilika yameenda vizuri lakini akaweka wazi kuwa mchezo hautakuwa mwepesi. Kocha huyo, ameyasema hayo ikiwa imesalia siku moja kabla ya mchezo huo wa kimataifa...
Blog

Nyamlani alamba shavu TFF

Kamati ya utendaji ya Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania (TFF), imemteua Ndg Athuman Nyamlani kuwa kaimu Makamu wa Rais wa shirikisho la hilo Nyamlani anachukua nafasi ya Michael Richard Wambura aliyefungiwa maisha na kamati ya maadili kutojihusisha na masula ya mpira, Ingawa Michael Richard Wambura amekata rufaa katika kamati...
Blog

Mayanga akanusha uvumi ulioenea

Kocha mkuu wa timu ya Tanzania, Salum Mayanga amekanusha vikali juu ya taarifa iliyosema kuwa yeye hakufanya uteuzi wa kikosi cha timu hiyo Mara baada ya Stars kupoteza mchezo kwa kufungwa mabao 4-1 hapo jana, mapema Leo Asubuhi kulizuka taarifa inayoeleza kuwa Mayanga hakuhusika katika uteuzi wa kikosi Mayanga amesema...
Blog

Dismas Ten alivyoizungumzia Simba sc

Hafsa habari wa klabu ya Yanga sc, Dismas Ten amesema kuwa sio jambo jema sana kujisifia kutoa sare ugenini kwa maana halikuwa lengo la kila mmoja Akiongea kutoka makao makuu ya klabu hiyo mitaa ya Twiga na Jangwani, Ten alisema kuwa lengo ilikuwa ni kuona timu zinafudhu kwenda kunako hatua...
Blog

Stars yatua Algiers kuwakabili El Khadra

Timu ya taifa ya Tanzania "Taifa Stars, imetua Algiers, Algeria na kupokelewa na balozi wa Tanzania nchini humo mheshimiwa Omar Yusuf Mzee. Stars inayolewa na kocha Salum Mayanga akisaidiwa na Ally Bushir, ipo nchini humo kwa mchezo wa kimataifa wa kirafiki utakaochezwa kwenye tarehe za kalenda ya FIFA Machi 22,...
Blog

Samatta apokelewa na balozi nchini Algeria.

Msambuliaji wa Tanzania, Mbwana Ally Samatta amewasili leo nchini Algeria na kupeokelewa na balozi wa Tanzania nchini humo Ndugu Omar Yusuf Mzee.. Mshambuliaji huyo yupo nchini humo kwa ajili ya mchezo wa kimataifa wa kirafika kati ya Taifa stars dhidi wenyeji Algeria utakaopigwa Machi 22, 2018 Nahodha huyo wa timu...
Blog

Stars yapanguliwa Mandawa In Ulimwengu Out.

Kikosi cha timu ya Taifa Tanzania ''Taifa Stars'' kinatarajiwa kuondoka leo kuelekea nchini Algeria kucheza mchezo wa kirafiki March 22 dhidi ya wenyeji Algeria na DRC Congo jijini Dar es salaam March 27. Kikosi hicho kilicho chini ya kocha mkuu Salum Mayanga na msaidizi Hemed Moroco kimefanya mabadiliko ya wachezaji...
Blog

Rufaa ya Wambura imebeba mambo mazito

Wakili wa Michael Richard Wambura, Emmanuel Muga amesema kuwa wameamua kukataa rufaa ili kutafuta haki yao, Wakili huyo amesema wameambatanisha mambo ya kisheria na mambo matano ya msingi yaliyopelekea kukata rufaa hiyo "Tumeandaa rufaa na imekamilika, tumeshalipia kwa mujibu wa kanuni za TFF kuwa ilipiwe shilingi milioni moja, na kuanza...
Blog

Njia panda waliyotuacha Wambura na TFF

Jana imetoka hukumu ya makamu wa raisi wa TFF, Michel Richard Wambura, ambaye alikuwa anakabiliwa na makosa matatu. Kosa la kwanza ni kupokea fedha za shirikisho kwa malipo yasiyo halali, kosa la pili ni kughushi barua ya kuelekeza malipo ya kampuni la Jeck system Limited na kosa la tatu ni...
Blog

Majibu ya TFF kwenda kwa Wambura

UFAFANUZI 1.Matumizi mabaya ya fedha za TFF JIBU : Wambura kama Mwenyekiti wa kamati ya fedha amehudhuria vikao zaidi ya 4 vya kamati na hajawahi kulalamika kokote mpaka amefungiwa. Bajeti ya TFF iliyopitishwa Dodoma kwa Mwaka Mzima ni Bilioni 8.6 hivyo matumizi anayosema ya Bilioni 3 kwa miezi 7 yanaonyesha...
1 81 82 83 84 85
Page 83 of 85