Kipa aliyefungwa Nne na Algeria langoni dhidi ya DRC
Kocha msaidizi wa timu ya taifa ya Tanzania "Taifa stars ", Mzanzibar Hemed Suleiman "Morocco", amesema kuwa maandalizi yao ya mchezo wa kesho dhidi ya Congo yamekamilika yameenda vizuri lakini akaweka wazi kuwa mchezo hautakuwa mwepesi. Kocha huyo, ameyasema hayo ikiwa imesalia siku moja kabla ya mchezo huo wa kimataifa...