Ross Barkley anakuja kuisaidiaje Chelsea?
Chelsea katika dirisha hili dogo la usajili wamefanikiwa kumchukua kiungo Ross Barkley kutoka katika timu ya Everton. Wana idadi kubwa ya viungo wa kati kama Kante, Bakayoko, Fabregas, Danny Drink-Water. Viungo wote hawa kuna kitu Chelsea wanakosa katika eneo hili la kiungo ? Hebu tujaribu kuwatazama viungo waliopo kwa sasa....