https://www.kandanda.co.tz/wp-content/uploads/2019/03/Naunga-mkono-kikosi-cha-taifa-stars.mp4Nakiunga mkono kikosi cha Amunike kwa sababu moja tu!Mataifa AfrikaNakiunga mkono kikosi cha Amunike kwa sababu moja tu!Martin Kiyumbi3 years agoKila mtu ana jicho lake, jinsi anavyokiona kikosi cha Amunike. kuna wanaoona kikosi kimesheheni mabeki watupu, kuna wanaoona kikosi kiliwahitaji baadhi ya nyota ambao hawakuitwa. Lakini jambo pekee la msingi la kushika ni kwamba UKOCHA NI TAALUMA.