Unayakumbuka haya yaliyotokea kwenye kombe la dunia?
Goli la mkono wa Mungu na goli bora la karne yalitokea katika mechi moja katika michuano ya kombe la dunia la mwaka 1986 Hapana shaka ilikuwa mechi ambayo ni ngumu k usahaurika virahisi kwenye kichwa cha Diego Maradona, hata kwetu sisi alituachia kumbukumbu ambayo ni ngumu kuisahau. Hii ni baada...