Hii itakuwa fainali ya pili mfululizo kwa Wydad na ya tatu dhidi ya Al Ahly, msimu uliopita wawili hao walikutana na Wydad waliibuka washindi kwa na kutwaa kombe hilo.
Michezo ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika imemalizika rasmi Jumamosi na tayari vilabu vinne vitakavyocheza nusu fainali vimeshafahamika wakisuburi tu wakati wa mitangange hiyo kupigwa. Timu nne zilizofuzu ni Wydad Casablanca, Al Ahly, Esperence de Tunis zote kutoka Afrika Kaskazini na Mamelodi Sundowns kutoka Afrika Kusini, wakiwaacha Simba...
Safari ya Wekundu wa Msimbazi Simba katika Ligi ya Mabingwa imeishia rasmi mbele ya mabingwa watetezi Wydad Casablanca baada yakuondoshwa kwa mikwaju ya penati 4-3.
Ni wazi Wanasimba wanategemea wachezaji wap kurudia kile kilichotokea miaka 20 nyuma yaani mwaka 2003 ambapo Mnyama alimtoa Zamalek ambae alikua bingwa mtetezi tena katika ardhi ya nyumbani kwake Misri
Nae kiungo wa pembeni wa Simba Pape Osmane Sakho akiongea kwa niaba ya wachezaji wa Simba amesema wao kama wachezaji wapo tayari kupambana ili kutimiza ndoto yakufuzu nusu fainali.