Shirikisho Afrika

Shirikisho Afrika

Giza la Yanga ni mwanga wa Simba

Jana giza liliingia mapema sana hapa nchini, giza ambalo lilikuja na majonzi makubwa sana kwa Watanzania wengi Muambatano huu wa giza na majonzi umedumu kwa muda mrefu bila mwanga kuonekana mbele ya mboni za macho yetu. Usiku umekuwa mrefu sana kwetu na kibaya zaidi usiku wetu ulianza mapema sana. Jua...
Shirikisho Afrika

Simba ikiyafanya haya machache Waarabu wamekwisha

Mara baada ya Yanga sc kuangukia pua hapo jana kwa kukubali kichapo wakiwa nyumbani cha mabao 2-1 kutoka kwa Township Rollers, leo wawakilishi wengine kwenye michuano ya kombe la shirikisho hapa nawazungumzia wekundu wa msimbazi Simba sc, watashuka kwenye uwanja wa taifa kuwakaribisha Al Masri ya kutoka Misri Kuelekea katika...
Shirikisho Afrika

Simba sc, ni wakimataifa zaidi!

Simba sc, imetinga mzunguuko wa kwanza wa michuano ya kombe la shirikisho barani Afrika baada ya kuiondosha Gendermarie ya Djibouti kwa ushindi wa jumla wa mabao 5-0. Huo unaweza kuwa ni mwanzo mzuri kwa klabu hiyo ya Tanzania wakishiriki kwa mara ya kwanza baada ya takribani misimu minne kupita, na...
Shirikisho Afrika

SimbaSc Yafikia Hoteli Ya Kifahari Nchini Djibouti.

Kikosi cha Simba sc kipo nchini Djibouti, tayari kwa mchezo wa marejeano wa michuano ya kombe la shrikidho dhidi ya wenyeji wao Gendermarie Kikosi hicho, kilichoondoka mchana wa leo na kupitia Nairobi ambapo walilazimika kusubiri kwa muda mwingi na usiku huu kuwasili salama nchini Djibouti Katika kile kilichooneka kikosi hicho...
1 11 12 13
Page 13 of 13