
Timu ya taifa ya Zambia “Chipilopolo” ipo chini ya kocha Agrey Chiyangi, na amesema kua atafanya kazi nzuri katika nafasi yake kama kocha wa timu hiyo
Bosi huyo wa Green Eagles anaamini kua amechaguliwa kocha wa muda kutokana na kile alichokionesha Copper Bullets na chama cha soka kinamtumia na kitakua kiini cha kuchochea
“Kutumika katika taifa ni nzuri sana na ni sababu inayoamasisha, unajua wakati unapochaguliwa kuwa watu wawe na imani kwako kwamba unaweza kufanya kitu kwa taifa. Ni radhi Mimi kurudi na nitakupa kilicho bora” alisema Chiyangi
Chiyangi atasababisha mabingwa hao wa Afcon 2012, kufuzu kutoka kwenye kundi lao K dhidi ya Namibia mchezo utakaopigwa kunako uwanja wa taifa wa Zambia mnamo Machi 24
Unaweza soma hizi pia..
Waandishi wa habari za michezo waigalagaza Unitalent.
Unitalent hawakuishia tuu kufungwa mabao mawili lakini pia waliteseka uwanjani haswa katika eneo la kiungo
Kwanini Boban Hakuyapenda Maisha Ya Ulaya…?
Yumkini Haruna Moshi alishawishiwa kutokukipenda ambacho kingemsaidia maishani. Soma stori hii
Manara: Tunataka kuujaza uwanja Jumamosi!
Msemaji huyo pia ameonyesha ni kwa kiasi gani wamedhamiria kuujaza uwanja huku akitangaza neema kwa mashabiki wa Yanga wataokata tiketi kwenda uwanjani.
Hivi ndivyo tulivyomuua Samatta wetu.
Mimi siyo mpenzi wa mpira wa miguu ila nilisikia Rafiki zake wakimwiita Ronaldinho Gaucho,