Lipuli FC vs Ndanda FC

Sambaza....

Seleman Matola aliwahi nukuliwa kuwa anahitaji alama 10 tu kupata matumaini ya kubaki ligi kuu, hii ni mechi muhimu kwake ikikutana na Ndanda ambayo imepoteza mchezo wake dhidi ya Yanga nyumbani.

Lipuli FC

Ndanda FC

Uwanja

Iringa

Taarifa

Tarehe Muda Ligi Msimu Mwisho
04/03/2018 4:00 pm TPL 2017-2018 90'

Sambaza....