Mpaka sasa Marcus Rashford ameifungia Machester United mabao 25 katika michuano yote na magoli matatu katika timu yake ya Taifa England katika kombe la Dunia.
Tovuti hii inakuletea mkutano wa kwanza wa kocha wa muda wa Mashetani Wekundi, Manchester United Ole Gunnar na waandishi wa habari uliofanyika jana tarehe 21-12-2018 kufuatia upya wake katika klabu na mechi dhidi ya Cardiff city jumamosi hii.