Michezo mitano ilipigwa jana katika viwanja mbalimbali nchini katika muendelezo wa Ligi Kuu Bara huku mshambuliaji wa Biashara United akiingia katika vitabu vya rekodi msimu huu.
Timu ya Tanzania jana ilikuwa na mchezo wa kirafiki dhidi ya Misri, katika mchezo huo Tanzania ilipoteza kwa kufungwa bao moja bila. Je Kiwango cha timu umekikubali? Pitia uchambuzi huu