Kocha mpya wa Yanga ana damu ya kubeba VIKOMBE
Sambaza…. Yanga imemtangaza rasmi Mrithi wa Mwinyi Zahera ambaye alikuwa kocha wa Yanga , Baada ya Mwinyi Zahera kuachana na Yanga , Yanga walibaki na Charles Boniface Mkwasa kama kocha wa muda. Wamemtaja rasmi Kocha mpya ambaye ni Luc Eymael , ni kocha ambaye ana uzoefu mkubwa sana na soka la Afrika. Kocha huyu ametokea … Continue reading Kocha mpya wa Yanga ana damu ya kubeba VIKOMBE
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed