Uchambuzi yakinifu

Ligi Kuu

AZIZ KI vs KIBU DENIS

Yanga na Simba zinakutana katika mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Tanzania Bara ya NBC. Ikumbukwe katika mchezo uliopita klabu ya Simba ilitandikwa bao 5-1, na sasa ikiwa kama mwenyeji mambo yatakuwaje? Mtandao wako wa kandanda.co.tz unawapa nafasi mashabiki wake watatu ambao watatabiri kikosi au matokeo wakati wa mchecho huu,...
1 2 3 328
Page 1 of 328