Monaco kumtangaza Henry kama mrithi wa Jardim
Sambaza…. Mshambuliaji wa zamani wa Arsenal na Barcelona Thierry Henry ametajwa kuwa miongoni mwa makocha wanaotajwa kurithi kiti cha kocha Leonardo Jardim pindi atakapofukuzwa katika klabu ya Monaco. Henry mwenye umri wa miaka 41 ambaye alikuwa katika benchi la ufundi la timu ya Taifa ya Ubeligiji kama kocha Msaidizi kwenye michuano ya kombe la Dunia … Continue reading Monaco kumtangaza Henry kama mrithi wa Jardim
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed