Nani chaguo sahihi kiufundi: Tshabalala/Gadiel? Sehemu ya Pili

Karibu tena katika sehemu ya pili ya muendelezo wa makala ya kiuchambuzi juu ya matumizi sahihi ya mabeki Gadiel Michael na Mohamedi Husseni katika klabu ya Simba hata timu ya taifa.