Yanga yatakiwa kubadili jina mara moja
Shirikiho la soka Tanzania (TFF ) kupitia kwa katibu mkuu Wilfred Kidao limeiandikia barua klabu ya Yanga kuitaka kubadili jina lake la usajili kutoka “Young African Sports Club” na kuwa “Young African Football Club”. Barua hiyo imedai kuwa, kujiita sports club maana yake ni kujihusisha na michezo mingine tofauti na...