Sekwao Mwendi

Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam katika kitivo cha uandishi wa habari. Alijiunga na timu ya kandanda mwishoni mwa mwaka 2018. Anaandika kwa kuchambua kiundani na kutoa elimu tosha katika tasnia ya mpira wa miguu nchini.
Blog

Makosa ya Usajili wa Simba SC (04)

Falsafa ya Simba ni Kushambulia kwa kulimiliki eneo la kati, na ikitokea Simba wakamilikiwa kati, ujue kutakuwa hakuna ujanja mwingine. Acha tuzitazame mechi hizi ili kuliona hili… JS SAOURA VS SIMBA. Katika mechi hii Simba walilala kwa goli 2-0, huku eneo la kiungo wakianza na James Kotei na Jonas Mkude...
1 2 3 14
Page 1 of 14