Simba SC vs Tanzania PrisonsMwandishi Wetu6 years agoSimba anaingia uwanjani akiwa na uongozi wa ligi lakini pia akitaka kuongeza point Kati yake na Yanga. Prisons ya Mbeya wamepania Kumaliza Ligi Wakiwa nafasi tano za juu. Hali ya mvua huenda Ikawa faida kwao.