Baada ya mchezo huo kumalizika mashabiki waliojitokeza uwanjani hapo walilizunguka gari lililobeba wachezaji wakiwashukuru kwa juhudi walizozionyesha msimu huu licha ya kuambulia kombe la Mapinduzi pekee.
"Walianza kunifwatilia muda tuu kumbe hata kabla ya kusaini Dodoma Jiji, waliniona na wakaomba video zangu wakatumiwa mechi nilizocheza na kocha akapendekeza jina langu kusajiliwa katika timu yake.
Mtandao wetu unatumia takwimu husika zinazokusanywa katika mtandao wetu, takwimu hizo zinatumika katika kusheherekea na wachezaji wanaofanya vizuri uwanjani.
Ngoja niwape kichekesho cha mwisho nendeni kwenye page ya Yanga kule Instagram muangalie kwanini waliiondoa picha ya mshambuliaji wa Ghana ambaye tulijulishwa amesajiliwa??
Hizi ndio timu bora 10 katika mechi 106 zilizocheza kwa misimu mitatu. Lakini kumbuka, kuna timu mbili katika timu hizi bora msimu ujao hatutakuwanazo katika Ligi Kuu Tanzania Bara.