Masoud Djuma kutua Yanga
Aliyekuwa kocha msaidizi wa klabu ya Simba Sc, ambaye hivi karibuni amekuwa akitajwa kuondoka katika klabu hiyo, Masoud Djuma sasa yametimia. Viongozi wa Simba pamoja na Masoud Djuma wamekaa kwa pamoja na kuvunja mkataba kwa makubaliano maalumu. Taarifa ambazo tovuti ya Kandanda imepata zinasema Masoud Djuma, kocha huyo aliyejibeba umaarufu...