Beki Marumo: Ninakwenda Yanga
Yanga wapo katika mawindo yakupata mlinzi mwingine wakulia baada ya kiwango cha Djuma Shaban kuwa hakieleweki
Breaking news zote ambazo hazithibitishwa au ni Umbea tu wa mtaani. Ikiangalia masuala yanayohusu mpira wa miguu pekee tu. Kandanda hufanya utafiti kwenye baadhi ya habari hizi na kuzitolea ufafanuzi sahihi.