kutamfanya kubadili mipango yake kwa kumuingiza kikosini Mohamed Hussein Tshabalala acheze mlinzi wa kulia halafu Novatus Dismas alieanza kama mlinzi wa kushoto acheze katika eneo lake la kiungo wa ulinzi.
Na kunogesha shughuli hiyo mgeni rasmi atakua ni Naibu Waziri wa Sanaa, Utamaduni na Michezo Hamia Mwinjuma huku kiasi cha miliono tano kikitolewa kwa mshindi wa mchezo huo na wadhamini wa michuano hiyo Silent Ocean.
Sloti ya Forest Rock ina muundo wa kizamani wenye kolamu 5 na mistari 15 ya ushindi. Kama kawaida ukiichagua kasino ya mtandaoni ya Meridianbet basi umechagua ushindi
Kwasasa Shomary hajaitwa kikosini Stars kiasi cha kupelekea wadau wa soka kutoa maoni tofauti na kuwa gumzo baada ya uteuzi huo wa kocha mpya wa Stars Adel Ameorouche.