Msemaji Yanga: Kila Mtu Anatakiwa Kuisaidia Yanga Kupata Ushindi
Alli Kamwe amewaambia wapenzi na mashabiki wote wa klabu ya Yanga kila mmoja ana jukumu la kuisaidia Yanga ipate matoekea mazuri na si tu uongozi ama benchi la ufundi ndio wana hilo jukumu.